SERIKALI imeanza kuushughulikia mgogoro wa ardhi kati ya mwekezaji wa lililokuwa Shamba la Mpunga la NAFCO na wananchi wa kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali, imefahamika.
Hatua hiyo imekuja baada...
Wanafunzi hawa wanafanyishwa vibarua
Wanafunzi wa shule ya msingi Ndingine mwambao mwa ziwa Nyasa wilayani Mbinga mkoani Ruvuma wakifanyishwa… [more]
Ubora: Fukwe za ziwa Nyasa zinaongoza
Pichani ni fukwe za kuvutia ambazo zinapatikana katika eneo la Lundo ziwa Nyasa wilayani mpya ya ziwa… [more]
Hapa ni Ikulu ya Rais wa Msumbiji
Hapa ni mahali ambapo ni muhimu katika historia ya nchi ya Msumbiji.Eneo hili linaitwa Congresso lililopo… [more]
Maji ya mto huu yana sumu
WANANCHI zaidi ya 25,000 wa vijiji 16 vya kata za Tingi na Liparamba katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma,… [more]
Sasa unaweza kutalii mikumi kwa miguu
HIFADHI zilizo nyingi za wanyamapori zilizopo hapa nchini watalii wanaruhusiwa kuangalia wanyama … [more]
Serikali yaingilia kati mgogoro Kapunga
January 7th, 2012 | by Daniel Mbega
Wanafunzi hawana viatu
December 15th, 2011 | by Albano MideloMIAKA 50 ya uhuru bado kuna shule ambazo wanafunzi wanasoma bila kuvaa viatu.Hawa ni wanafunzi wa shule ya msingi Liwundi iliyopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Robo tatu ya wanafunzi wa shule hii hawana...
Mlundikano wa wanafunzi darasani
December 15th, 2011 | by Albano MideloTATIZO la mlundikano wa wanafunzi darasani hapa nchini imekuwa ni moja ya mambo ambayo yanachangia kushusha kiwango cha elimu,wanafunzi hawa wanasoma katika shule ya msingi Mkili kata ya Ngumbo wilaya...
Loliondo ya ziwa Nyasa
December 13th, 2011 | by Albano MideloHapa ni mahali katika kijiji cha Mkili mwambao mwa ziwa Nyasa mkoani Ruvuma ambapo pamepewa jina la Loliondo, sio kwa sababu kuna mganga ambaye anatoa tiba kama ilivyokuwa kwa babu Loliondo ambako ...
Hii ndiyo ofisi ya serikali ya kijiji
December 13th, 2011 | by Albano MideloHuyu ni afisa mtendaji wa kijiji cha Mkili kilichopo kata ya Liwundi mwambao mwa ziwa Nyasa wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.Hii ndiyo ofisi ya serikali ya kijiji ambako shughuli zote za serikali zinafanyika...
Mwalimu na nyumba mbovu
December 13th, 2011 | by Albano MideloMazingira ya kufanyia kazi ya walimu walio wengi hasa kwenye maeneo ya vijijini yanakatisha tamaa,wakati wabunge wanadai posho zaidi,hali za walimu zinazidi kutia huruma .
John Komba Mmoja wa...
Marejea kumaliza tatizo la mbolea nchini
December 13th, 2011 | by Albano MideloTATIZO la wakulima kutegemea ruzuku ya mbolea za chumvi chumvi ambazo zinauzwa kwa bei ya juu na kuleta madhara makubwa katika udongo linaweza kumalizika kabisa iwapo serikali itaweka msukumo katika...
Tracing the footsteps of FRELIMO
November 23rd, 2011 | by Daniel MbegaIF you want the authenticity and uniqueness of history, especially the guerilla movements, then come to Congresso in Matchedje, in the Niassa Province, where the true history of the Liberation forces...

JamiiForums | Where we Dare to Talk Openly!
Join over 50,000 people following JamiiForums