FEATURED STORY

Wanafunzi hawa wanafanyishwa vibarua

Wanafunzi wa shule ya msingi Ndingine mwambao mwa ziwa Nyasa wilayani Mbinga mkoani Ruvuma wakifanyishwa… [more]

Wanafunzi  hawa wanafanyishwa vibarua Wanafunzi  hawa wanafanyishwa vibarua

Ubora: Fukwe za ziwa Nyasa zinaongoza

Pichani ni fukwe za kuvutia ambazo zinapatikana katika eneo la Lundo ziwa Nyasa wilayani mpya ya ziwa… [more]

Ubora: Fukwe za ziwa Nyasa zinaongoza Ubora: Fukwe za ziwa Nyasa zinaongoza

Hapa ni Ikulu ya Rais wa Msumbiji

Hapa ni mahali ambapo ni muhimu katika historia ya nchi ya Msumbiji.Eneo hili linaitwa Congresso lililopo… [more]

Hapa ni Ikulu ya Rais wa Msumbiji  Hapa ni Ikulu ya Rais wa Msumbiji

Maji ya mto huu yana sumu

WANANCHI zaidi ya 25,000 wa vijiji 16 vya kata za Tingi na Liparamba katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma,… [more]

Maji ya mto huu yana sumu Maji ya mto huu yana sumu

Sasa unaweza kutalii mikumi kwa miguu

HIFADHI zilizo nyingi za  wanyamapori zilizopo hapa nchini watalii wanaruhusiwa kuangalia wanyama … [more]

Sasa unaweza kutalii mikumi kwa miguu Sasa unaweza kutalii mikumi kwa miguu
ALL STORIES
Serikali yaingilia kati mgogoro Kapunga

Serikali yaingilia kati mgogoro Kapunga

January 7th, 2012 | by Daniel Mbega

SERIKALI imeanza kuushughulikia mgogoro wa ardhi kati ya mwekezaji wa lililokuwa Shamba la Mpunga la NAFCO na wananchi wa kijiji cha Kapunga wilayani Mbarali, imefahamika.
Hatua hiyo imekuja baada...

Wanafunzi hawana viatu

Wanafunzi hawana viatu

December 15th, 2011 | by Albano Midelo

MIAKA 50 ya uhuru bado kuna shule ambazo wanafunzi wanasoma bila kuvaa viatu.Hawa ni wanafunzi wa shule ya msingi Liwundi iliyopo wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Robo tatu ya wanafunzi wa shule hii hawana...

Mlundikano wa wanafunzi darasani

Mlundikano wa wanafunzi darasani

December 15th, 2011 | by Albano Midelo

TATIZO la mlundikano wa wanafunzi darasani hapa nchini imekuwa ni moja ya mambo ambayo yanachangia kushusha kiwango cha elimu,wanafunzi hawa wanasoma katika shule ya msingi Mkili kata ya Ngumbo wilaya...

Loliondo ya ziwa Nyasa

Loliondo ya ziwa Nyasa

December 13th, 2011 | by Albano Midelo

Hapa ni mahali katika kijiji cha Mkili mwambao mwa ziwa Nyasa mkoani Ruvuma ambapo pamepewa jina la Loliondo, sio kwa sababu kuna mganga ambaye anatoa tiba kama ilivyokuwa kwa babu Loliondo ambako ...

Hii ndiyo ofisi ya serikali ya kijiji

Hii ndiyo ofisi ya serikali ya kijiji

December 13th, 2011 | by Albano Midelo

Huyu ni afisa mtendaji wa kijiji cha Mkili kilichopo kata ya Liwundi mwambao mwa ziwa Nyasa wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.Hii ndiyo ofisi ya serikali ya kijiji ambako shughuli zote za serikali zinafanyika...

Mwalimu na nyumba mbovu

Mwalimu na nyumba mbovu

December 13th, 2011 | by Albano Midelo

Mazingira ya kufanyia kazi ya walimu walio wengi hasa kwenye maeneo ya vijijini yanakatisha tamaa,wakati wabunge wanadai posho zaidi,hali za walimu zinazidi kutia huruma .

John Komba Mmoja wa...

Marejea kumaliza tatizo la mbolea nchini

Marejea kumaliza tatizo la mbolea nchini

December 13th, 2011 | by Albano Midelo

TATIZO la wakulima kutegemea ruzuku ya mbolea za chumvi chumvi ambazo  zinauzwa kwa bei ya juu na kuleta madhara makubwa katika udongo linaweza kumalizika kabisa iwapo serikali itaweka msukumo katika...

Tracing the footsteps of FRELIMO

Tracing the footsteps of FRELIMO

November 23rd, 2011 | by Daniel Mbega

IF you want the authenticity and uniqueness of history, especially the guerilla movements, then come to Congresso in Matchedje, in the Niassa Province, where the true history of the Liberation forces...